NAMNA YA KULIPIA

Kulipa Benki :Fika tawi lolote au wakala wa benki ya CRDB,NMB, BOT aliye karibu na hospitali yetu na namba yako ya kumbukumbu mfano 9959800565861.

Mitandao ya Simu

  1. Ingia kwenye menyu ya mtandao husika. mfano Tigpesa *150*01#
  2. Chagua 4 (Lipa bili)
  3. Chagua 5 (Malipo ya serikali).
  4. Ingiza mfano 995980056586 kama namba ya kumbukumbu ya malipo uliyopewa na mtoa huduma hakikisha ziwe namba 13.
  5. Ingiza kiasi chapesa kama ulivyoambiwa na mtoa huduma wetu bila kupunguza wala kuzidisha mfano 15000 kwa ajili ya faili.
  6. Subiri ujumbe mfupi (sms) kutoka mtandao wako kama ni Mpesa,Tigopesa,halopesa au Tpesa  na ujumbe mfupi (sms) wa GePG
  7. Rudi kwa mtoa huduma wetu na kumuonesha ujumbe mfupi (sms) zote mbili za GePG pamoja na ya kampuni la Simu uliyotumia Kulipia ili Upate risiti ya huduma uliyolipia.
  8. Fuata maelezo ya mhudumu wetu wapi unapaswa kuelekea kama ni kwa Daktari ama maabara au famasi.